Matthew 21:32
32 aKwa maana Yahya alikuja kwenu kuwaonyesha njia ya haki, lakini hamkumsadiki, lakini watoza ushuru na makahaba wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo, baadaye hamkutubu na kumsadiki.”Mfano Wa Wapangaji Waovu
(Marko 12:1-12; Luka 20:9-19)
Copyright information for
SwhKC